Back to home

Mswada wa usimamizi wa maendeleo ya uvuvi wapingwa Malindi

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 15, 2025
1h ago
Wadau wa sekta ya uvuvi mjini Malindi wamefanya maandamano ya amani katika kituo cha kupokea samaki cha Shella wakipinga mswada wa usimamizi na maendeleo ya uvuvi wakisema unakiuka katiba, na unalenga kumkandamiza. Wadau hao wakiongozwa na maafisa wa BMU, wakiwemo wavuvi Pamoja