Back to home
Mauaji Nakuru na Kitengela: Watuhumiwa wakamatwa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 15, 2025
3h ago
Polisi eneo la Elburgon kaunti ya Nakuru wanamzuilia mfanyakazi wa shamba kwa tuhuma za kuwaua waajiri wake wawili. Mfanyakazi huyo akiripotiwa kukiri kuwaua wazee hao wawili na kutupa maiti zao kwenye kisima cha maji. Huku hayo yakijiri, polisi Kajiado nao wanamzuilia msichana