Back to home

Wataalam wa vyombo vya habari waungana Nairobi baada ya miaka 16

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 15, 2025
3h ago
Mkutano wa 25 wa utafiti wa vyombo vya habari barani Afrika PAMRO, unaowaleta pamoja wataalamu wa vyombo vya habari kutoka bara la Afrika umeanza rasmi. Mkutano huu ukiangazia kwa mapana changamoto zinazoikumba sekta ya habari ikiwemo mabadiliko ya teknolojia, haswa nafasi ya aki