Back to home

Baadhi ya mawakili waandamana nairobi wakitaka uchunguzi wa haki wa mauaji ya wakili Kyalo Mbobu

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 12, 2025
3h ago
Chama cha mawakili nchini (LSK) kimewasilisha ombi kwa inspekta jenerali wa polisi Douglas Kanja kikitaka uchunguzi wa haraka na wa kina kufanywa kuhusu mauaji ya wakili Mathew Kyalo Mbobu, aliyeuawa kwa kupigwa risasi nane siku ya Jumanne.