Back to home

Wakazi wa Karemenu wasema bado hawajalipwa fidia ya ardhi baada ya kuondolewa ili bwawa la maji lije

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 12, 2025
3h ago
Mazingira ya bwawa ya Karemenu ni baadhi ya maeneo machache yaliyopata ufadhili wa Zaidi ya shilingi milioni 200 kutoka kwa washirikishi wa mazingira na maji wakishirikiana na serikali ya Kenya ili kurudisha vyanzo vya maji katika maeneo yalioharibiwa. Haya yanajiri wakati wakaaz