Back to home
Hafla ya ukumbusho Marehemu Mwandishi Ken Walibora yafanyika katika chuo kikuu cha kibabii
video
C
Citizen TV (Youtube)September 16, 2025
2h ago
Wakenya wameshauriwa kukumbatia matumizi ya lugha ya kiswahili kila mara, hasa kwa kusoma vitabu na kufanikisha masomo ya kiswahili katika taasisi za elimu, kama njia moja ya kumkumbuka na kumsherehekea marehemu mwandishi ken walibora aliyebobea katika tasnia ya uandishi wa kiswa