Back to home
Kumeripotiwa ongezeko la matukio ya wizi, mauaji na uhalifu huko Kiserian
video
C
Citizen TV (Youtube)September 17, 2025
3h ago
Ongezeko la matukio ya wizi, mauaji na uhalifu mwingine katika mji wa Kiserian kaunti ya Kajiado, limewachochea Maafisa wa serikali kuu na Ile ya kaunti kuandaa kikao cha usalama na wananchi ili kutafuta suluhu ya kumaliza uhalifu huo.