Back to home
Kizaazaa DAP-K Malava baada ya cheti cha Panyako
video
C
Citizen TV (Youtube)September 18, 2025
2h ago
Mzozo ulishuhudiwa kaunti ya Kakamega kufuatia tofauti za wagombea kiti cha ubunge cha Malaba. Tofauti zilidhihirika baada ya Mgombea Caleb Burudi, kuzuiwa kuhutubia kikao cha wanahabari baada ya kutangazwa rasmi kwa mpinzani wake Seth Panyako, kuwa mgombea wa chama cha DAP - K k