Back to home
Watoto zaidi ya 15 wanaswa katika miji ya Mororo na Madogo kaunti ya Tana River
video
C
Citizen TV (Youtube)September 19, 2025
2h ago
Watoto zaidi ya kumi na watano kutoka vitongoji duni vya Mororo na mji wa Madogo kaunti ya Tana River wamenaswa kwenye oparesheni ya kuwasaka watoto wenye umri wa kwenda shule lakini badala yake wanarandaranda na kujiusisha na biashara ya vyuma vikukuu.