Back to home
Jukwaa la usalama awamu ya 43 lafanyika kaunti ya Nyamira
video
C
Citizen TV (Youtube)September 19, 2025
2h ago
Waziri wa usalama wa ndani Kipchumba Murkomen ameshauri maafisa wa polisi kuwatumikia wananchi kwa uadilifu, wanapokabiliana na utovu wa usalama na pombe haramu.