Back to home
Wanafunzi 10 wa shule ya upili ya wavulana ya Litein wazuiliwa kwa vurumai la jana jumapili
video
C
Citizen TV (Youtube)September 23, 2025
2h ago
Wanafunzi 10 wa shule ya upili ya wavulana ya Litein wamekamatwa na maafisa wa polisi wakihusishwa na vurumai lililotokea ndani ya shule hiyo. Wanafunzi waliripotiwa kuzua fujo na kuteketeza shule baada ya kunyimwa nafasi ya kutazama mechi kati ya Arsenal na Manchester City jumap