Back to home

Baadhi ya vijana Busia wataka kiwanda cha matofali kubuniwa

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 23, 2025
2h ago
Baadhi ya vijana kutoka eneo bunge la Butula kaunti ya Busia wanaitaka serikali kuu kujenga kiwanda cha kutengeneza matofali eneo hilo wakilalamikia uharibifu wa mazingira unaosababishwa na utengenezaji wa matofali. Wakazi wengi kaunti ya Busia na maeneo mengine ya magharibi hutu