Back to home
RUPHA yasema huduma za wagonjwa zitarejea baada ya SHA kulipa madeni
video
C
Citizen TV (Youtube)September 23, 2025
2h ago
Muungano wa hospitali hizo -RUPHA - unasema kuwa haujabadili msimamo kuhusu kuwanyima huduma wagonjwa wanaotegemea SHA na ambao hawawezi kulipa pesa taslimu kupata huduma hizo. Mwenyekiti wa muungano huo DKT. BRIAN LISHENGA anasema kuwa huduma hizo zitarejelewa punde tu SHA itak