Back to home

Wanariadha walioshinda medali huko Tokyo wapokewa kwa shangwe

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 24, 2025
2h ago
Wanariadha walioshiriki kwenye mashindano ya dunia mjini Tokyo Japan walikaribishwa kwa mbwembwe nchini baada ya kuiweka Kenya kwenye nafasi ya pili katika mashindano hayo. Mashujaa hao wa taifa wanarejea nchini na jumla ya medali 11, saba zikiwa za dhahabu. Haya ni huku wabunge