Back to home

Machifu waliozuiliwa na magaidi wavunja kimya chao

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 24, 2025
3h ago
Machifu Watano waliotekwa nyara na kundi la kigaidi Al Shabaab na kusafirishwa nchi jirani Somalia kwa jumla ya miezi miwili wamesimulia masaibu yao mikononi mwa magaidi hao. Machifu hao waliokuwa mateka kwa zaidi ya miezi miwili wanaitaka serikali kuwasadia kwani familia zao zin