Back to home
Tume ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yatoa ksh. 800m katika ujenzi wa makao ya tume ya Ziwa Victoria
video
C
Citizen TV (Youtube)September 26, 2025
2h ago
Miezi miwili baada ya rais William Ruto kuangazia umuhimu wa kufufua uchumi wa majini katika ziwa Viktoria, taifa limepigwa jeki baada ya kupokea ufadhili zaidi wa ujenzi wa makao ya tume ya ziwa Viktoria.