Back to home

Waziri wa usalama Kipchumba Murkomen asema familia ya Kabiru imejulishwa kuhusu kifo chake

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 26, 2025
2h ago
Waziri wa usalama Kipchumba Murkomen sasa anasema kuwa familia ya afisa aliyeuwawa nchini Haiti imejulishwa kuhusu kifo cha jamaa yao, na kuwa mtafaruku wa taarifa za kifo chake zilizotolewa na Rais William Ruto ulitokana na tofauti ya muda. Haya yanajiri baada ya familia ya afis