Back to home
Chama cha ODM chatimiza miaka 20 tangu kuasisiwa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 26, 2025
2h ago
Malefu ya wafuasi wa chama cha ODM wameanza kumiminika katika uga wa Gusii mapema leo kuadhimisha miaka 20 ya chama hicho cha Chungwa ukanda wa Nyanza na Magharibi mwa Kenya. Kiongozi wa Chama hicho Raila Odinga anatarajiwa kuongoza hafla hiyo mjini Kisii.