Back to home
Familia ya Christabel Atieno yasema mwana wao anateseka Saudia Arabia
video
C
Citizen TV (Youtube)September 26, 2025
2h ago
Familia moja kutoka kijiji cha usonga mpakani mwa kaunti ya busia na siaya imesalia kwenye njia panda baada ya mawasiliano na mwana wao christabel atieno
aliye nchini saudi arabia kukatika kwa muda wa miezi sita sasa.