Back to home
Mgomo wa wahadhiri waingia siku ya 10 serikali yashinikizwa kutekeleza mkataba
video
C
Citizen TV (Youtube)September 26, 2025
3h ago
Kwa siku 10 sasa wahadhiri wa vyuo vikuu wameendelea kususia kazi na kusimama kidete kuwa sharti serikali itimize ahadi ya mikataba ya maelewano waliotia saini. Hali hii imewaacha wanafunzi kutaabika wakikosa masomo wasijue warudi nyumbani au kusalia vyuoni.