Back to home

Upinzani waahidi kusalia pamoja na kumbwaga Ruto 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 26, 2025
2h ago
Umoja wa Upinzani umetangaza kwamba utaunga mkono mmoja wao atakayepambana na rais william Ruto kwenye uchaguzi Mkuu wa mwaka wa 2027. Wakihudhuria mkutano maalum wa kitaifa wa wajumbe wa chama cha Peoples Liberation Party, PLP, ulioongozwa na kinara wake Martha Karua, Viongoz