Back to home
Uhuru asema aliwaonya wakenya kuhusu Ruto na serikali yake ya majaribio
video
C
Citizen TV (Youtube)September 26, 2025
2h ago
Rais mstaafu uhuru kenyatta amemkashifu rais william ruto kwa kurejesha nyuma maendeleo nchini kwa kufanya majaribio kwenye masuala muhimu ambayo yanaathiri wananchi. Akizungumza kwenye mkutano maalum wa wajumbe wa chama cha jubilee jijini nairobi, uhuru aliwakumbusha wakenya kuw