Back to home
Wakazi wa Kainuk kaunti ya Turkana waishi kwa hofu baada ya askari wa akiba kuuawa na bunduki kuibwa
video
C
Citizen TV (Youtube)September 29, 2025
2h ago
Hali ya taharuki bado imetanda katika eneo la Kainuk mpakani mwa kaunti za Pokot Magharibi na Turkana, baada ya askari wa akiba kuuliwa na bunduki yake kuibwa, huku mwanaume mwingine wa makamu kuuawa baada ya kufyatuliwa risasi mwisho wa juma lililopita. Na kama anavyoarifu Chebo