Back to home
Waziri Alice Wahome akiri kwamba shamba la Olkiombo Maasai Mara lilitolewa kinyume cha sheria
video
C
Citizen TV (Youtube)September 30, 2025
2h ago
Waziri wa ardhi Alice Wahome sasa anasema kwamba shamba la ekari elfu nne mia saba la Olkiombo ndani ya hifadhi ya Maasai Mara lilitolewa kinyume cha sheria. Waziri Wahome amefafanua kuwa ardhi hiyo haikupimwa kabla ya hatimiliki kutolewa kwa Livingston Kunini Ntutu, ambaye ni nd