Back to home

Mwanafunzi wa udaktari aokolewa na wahisani baada ya kukosa karo ya kuendeleza masomo yake

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 30, 2025
3h ago
Mwanafunzi mmoja wa udaktari alilazimika kuacha shule na kuishia barabarani kwa kukosa karo ya kuendelea na masomo yake. Ndoto ya Dancan Barongo kuwa daktari ilikatizwa na akalazimika kuishia barabarani katika mtaa wa Githurai. Hata hivyo, Barongo sasa ameokolewa na wahisani akiw