Back to home

Wanachama wa shirika la kahawa Kiungani waandamana

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 2, 2025
2h ago
Wakulima wa kahawa katika eneo la Kiungani, Kaunti ya Trans Nzoia, wameandamana wakishinikiza serikali ya kaunti kumaliza mzozo wa shirika la wakulima wa kahawa ambao umedumu kwa zaidi ya miaka 29 sasa.