Back to home

Familia ya Mombasa yalilia haki miaka miwili baada ya jamaa yao kufariki katika njia tata Diani

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 2, 2025
22h ago
Familia moja ya Mombasa inalilia haki miaka miwili baada ya jamaa yao kufariki katika njia tata eneo la diani.Kennedy Olilo Obura anadaiwa kuuwawa baada ya kuhudhuria harusi ya rafikiye. Familia inadai juhudi za kupata haki zimeendelea kukumbwa na vikwazo kwani hata kesi haijaanz