Back to home
Ruto awataka vijana kujisajili kupiga kura, aonya dhidi ya siasa za utengano
video
C
Citizen TV (Youtube)October 5, 2025
3h ago
Rais William Ruto amewataka vijana kujitokeza kujisali kuwa wapiga kura kwenye zoezi linaloendelea kote nchini. Rais akisema vijana ndio wenye ufunguo wa uongozi bora. Akizungumza kaunti ya meru alikohudhuria ibada ya jumapili, rais pia ameendelea kukemea siasa za wapinzani wake