Back to home

Wakazi wa Seme, Kisumu, wazidisha ulaji wa ndege aina ya 'sacred ibis'

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 6, 2025
2h ago
Shirika la huduma kwa wanyamapori sasa limetoa onyo kwa wakazi wa eneo la Seme kaunti ya Kisumu, ambao wanawinda na kula mdege aina ya kwarara . Kulingana na msimamizi wa kisiwa cha Ndere, idadi ya ndege hao imepungua maradufu na huenda mbuga hiyo ikapoteza wageni. Na kama anavyo