Back to home
Watu wanne wameaga dunia baada ya kuambukizwa Kipindupindu eneo la Trans Mara
video
C
Citizen TV (Youtube)October 6, 2025
2h ago
Kikosi kinachojumuisha maafisa wa wizara ya afya, shirika la msalaba mwekundu na mashirika mengine ya masuala ya afya, kimeandaa mkutano wa kimkakati wa kuangazia mbinu za kudhitibi msambao wa maradhi ya kipindupindu huko trans mara magharibi. Kufikia sasa, watu wanne wameaga dun