Back to home
Visa vya dhuluma za kijinsia vimeongezeka kaunti ya Nyeri
video
C
Citizen TV (Youtube)October 7, 2025
1h ago
Visa vya dhuluma za kijinsia vimeripotiwa kuongezeka kwa hali ya kutisha katika kaunti ya Nyeri ambapo visa vya kujitoa uhai haswa kwa wanaume na ubakaji wa watoto na wakongwe vikiongezeka kila siku.