Back to home

Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dedan Kimathi kugoma mara ya pili

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 7, 2025
4h ago
Shughuli za Masomo Katika chuo kikuu cha Dedan Kimathi kilichoko kaunti ya Nyeri zinatarajiwa kutatizika zaidi, baada ya wahadhiri na wafanyakazi wa chuo hicho kuanzisha mgomo wa pili, wakiteta kukandamizwa na chuo hicho, kwenye utekelezaji wa Mikataba miwili ya makubaliano iliyo