Back to home

Wazee wa jamii ya Meru wataka tamasha za jamii zikumbatiwe

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 8, 2025
1h ago
Wazee wa jamii ya Meru kaunti ya Mombasa wanataka serikali za kaunti kukumbatia tamasha za kitamaduni kote nchini ili kudumisha umoja baina ya jamii na kuhakikisha kizazi cha sasa hasa vijana wanatambua tamaduni.