Back to home

Kilimo cha mpunga kinatarajiwa kuimarika kupitia teknolojia mpya

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 8, 2025
2h ago
Kilimo cha mpunga katika eneo bunge la Budalangi katika kaunti ya Busia kinatarajiwa kuimarika maradufu baada ya ujio wa teknolojia ya kupanda mmea huo kwa kutumia mashine ya kupandikiza. Kinyume na awali, mpunga unapandwa katika teo zinazowekwa kwenye kiota cha wavu wa kivuli kw