Back to home

Hospitali ya mama Lucy Kibaki yaanza ujenzi wa kituo kipya Nairobi

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 10, 2025
4h ago
Hospitali ya mama Lucy Kibaki imeanza ujenzi wa wodi maalum ya watoto wachanga yenye vitanda 53, inayolenga kupunguza msongamano na kuboresha huduma za afya ya kina mama na watoto wachanga jijini Nairobi.