Back to home
Serikali ya kaunti yabomoa nyumba zilizojengwa kwenye mifereji Kirinyaga
video
C
Citizen TV (Youtube)October 10, 2025
4h ago
Serikali ya kaunti ya kirinyaga imeanzisha operesheni kubwa ya kuondoa nyumba na maghorofa haramu yote isiyo halali iliyojengwa juu ya mifereji ya maji, katika juhudi za kuzuia mafuriko yanayotarajiwa kufuatia mvua za msimu wa oktoba.