Back to home

Msichana wa miaka 17 auguza majeraha Narok baada ya kushambuliwa vibaya

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 23, 2026
3h ago
Msichana wa miaka 17 katika kaunti ya Narok County anaendelea kuuguza majeraha baada ya kushambuliwa vibaya. Msichana huyo, ambaye kwa sasa anapatiwa matibabu, anasema mshukiwa aliyedaiwa kutaka kumdhulumu kijinsia alitoroka baada ya kumjeruhi. Kwengineko katika kaunti ya Nyamira
Advertisement