Back to home
Mackenzie aongozwa Kilifi, ukaguzi wa kanisa lake wafanyika
video
C
Citizen TV (Youtube)June 23, 2026
2h ago
Maafisa wa mahakama na wale wa usalama leo wamemuongoza mhubiri tata Paul Mackenzie na washukiwa wenzake wa mauaji ya Shakahola na Kwa Binzaro hadi nyumbani kwake eneo la Furunzi kaunti ya Kilifi County. Wakati wa ziara hiyo, ukaguzi wa kanisa lake ulifanywa na baadhi ya mashahid
Advertisement
Advertisement





