Back to home
Mwili wa kijana mmoja kati ya watatu waliozama wakati wa mashindano ya mashua Tudor waopolewa
video
C
Citizen TV (Youtube)October 12, 2025
2h ago
Jioni ya leo, Mwili wa kijana mmoja kati ya watatu waliozama wakati wa mashindano ya mashua eneo la Tudor mjini Mombasa umeopolewa. Maafisa wa ukoaji bado wakiwatafuta vijana wengine wawili waliozama huku sasa waandalizi wa mashindano hayo wakijitetea dhidi ya tuhuma za kutowajib