Back to home

Rais wa Marekani anaongoza makubaliano ya amani Israel

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 13, 2025
3h ago
Rais wa Marekani Donald Trump amewasili Israeli kuongoza makubaliano ya amani Gaza kufuatia makubaliano ya kusitishwa kwa mashambulizi yaliyokuwa yakifanywa na Israeli.