Back to home

Maseneta waandaa kikao maalum kumkumbuka Raila Odinga, wakimtaja kama shujaa wa mageuzi na haki.

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 16, 2025
2h ago
Maseneta leo wameandaa kikao maalum kumkumbuka aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga, wengi wakimtaja kama mtu aliyekuwa shupavu kwa mageuzi na mpiganiaji wa haki. Baadhi ya maseneta wakishindwa kujizuia kihisia na wengine wakitokwa na machozi wakimkumbuka Odinga kama kiongozi aliye