Back to home

Serikali bado haijatoa mwelekeo kuhusu bei ya mahindi Trans Nzoia

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 21, 2025
2w ago
Licha ya wakulima wa mahindi kupata mazao maradufu katika Kaunti ya Trans Nzoia, bado wanaendelea kutaabika kutokana na bei duni ya zao hilo kufuatia wizara ya kilimo kuchelewa kutangaza bei rasmi ya kununua mahindi, hali inayowapa nafasi madalali kuwanyanyasa wakulima.