Back to home
Baraza la magavana lakutana kujadili matamshi ya Mutahi Kahiga
video
C
Citizen TV (Youtube)October 22, 2025
5h ago
Baraza la magavana leo limekutana kujadili matamshi ya Gavana wa kaunti ya Nyeri Mutahi Kahiga ya kukejeli kifo cha kinara wa ODM na aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga. Inatarajiwa kuwa baraza hilo limechukua hatua kali dhidi ya Gavana Kahiga ikiwa ni pamoja na kumshurutisha kuom