Back to home

Wafuasi wa Chama Cha Chungwa ODM wataka chama kiimarike

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 22, 2025
10h ago
Chama Cha ODM tawi la Samburu kimetoa wito kwa viongozi waliosalia chamani kuhakikisha chama hicho kinasalia imara na kutosambaratika ili kulinda na kuendeleza maono aliyokuwa nayo Hayati Raila Odinga. Mwanahabari wetu Bonface Barasa anaarifu zaidi kutoka Samburu.