Back to home

Wazee wa jamii mbali mbali watembelea kaburi la Raila kutoa heshima na kufanya tambiko maalum

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 22, 2025
4h ago
Wazee kutoka jamii mbalimbali leo wamezuru kaburi la aliyekuwa waziri mkuu Hayati Raila Odinga, wakitoa heshima zao za mwisho kwa mmoja wao. Wakifanya tambiko maalum, wazee hao waliwataka wakenya kuiga mfano wa mwendazake Raila Odinga haswa katika kusimamia ukweli