Back to home
Wakaazi Busia na Uganda wanufaika na matibabu ya macho kufuatia uzinduzi wa kliniki maalum
video
C
Citizen TV (Youtube)October 22, 2025
2w ago
Wagonjwa wa macho katika kaunti ya Busia na nchi jirani ya Uganda wamepata afueni kufuatia uzinduzi wa kliniki maalum ya magonjwa ya macho yanayolenga kuwahudumia wagonjwa hao kwa bei nafuu. Idadi ya wagonjwa wa macho na hata wanaoopteza uwezo wa kuona ikiongezeka mno katika kaun




