Back to home
Wakazi wa vijiji vya Goda na Bulesa kaunti ya Isiolo wanufaika na maji
video
C
Citizen TV (Youtube)October 22, 2025
1d ago
Wakazi wa vijiji vya Goda na Bulesa katika wadi ya Chari, kaunti ya Isiolo wamenufaika kutokana na kukamilika kwa mradi wa maji wa Kenya Rapid Plus na shirika la Catholic Relief Services.





