Back to home

Wakazi wa Mikindani, Mombasa wanufaika na mradi wa kusafisha maji taka

video
C
Citizen TV (Youtube)
September 29, 2025
2h ago
Miji mingi nchini Kenya inakabiliwa na changamoto ya maji taka — tatizo linaloleta magonjwa na kuchafua mazingira. Lakini kwa wakazi wa Mikindani, kaunti ya Mombasa, suluhu imepatikana. Sasa, maji taka kutoka nyumba za watu zaidi ya elfu 40 yanasafishwa na kutumika mashambani,