Back to home

Safari ya kurejesha mwili wa Raila Odinga nyumbani yatajwa kuwa ya kihistoria

video
C
Citizen TV (Youtube)
October 23, 2025
22h ago
Safari ya kurejesha nyumbani mwili wa waziri mkuu wa zamani marehemu Raila Odinga ilikuwa ya kihistoria. Marubani na wahudumu wa ndege wakisimulia hisia zao kabla ya safari hiyo kuanza na hatimaye kukamilika kwa safari hiyo katika uwanja wa ndege wa jkia.