Back to home
Dkt. SK Macharia azuru kaburi la Raila Odinga kutoa heshima za mwisho
video
C
Citizen TV (Youtube)October 23, 2025
23h ago
Mwenyekiti kwa Kampuni ya Royal Media Services DKT SK Macharia leo amezuru kaburi la waziri mkuu wa zamani marehemu Raila Odinga na kutoa heshima zake za mwisho kwa Rafiki na mwandani wake wa muda mrefu. Dakta SK Macharia aliweka maua katika Kaburi lake huko Kang'o Ka Jaramogi hu



